Main Menu

Thursday, February 26, 2015

ARSENAL MGUU MMOJA TAYARI NJE UA UEFA BAADA YA KIPIGO CHA PAKA MWIZI

Matumaini ya Arsenal kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya imeingia nyongo  baada ya kukubali kipigo nyumbani mbele ya mashabiki wao kutoka kwa Monaco ya Ufaransa cha mabao matatu kwa moja.

Mshambuliaji wa zamani wa Tottenham, man u na fulham Dimitar Berbatov ambaye naye alirejea England alikuwa ni miongoni mwa waliopachika magoli hayo kwa upande wa Monaco.

Huku magoli mengine yakipachikwa na Geoffrey Kondogbia na Yannick Ferreira Carrasco.

Goli la kufutia machozi la Arsenal limefungwa na Oxlade Chamberlain aliyetokea benchi

Ukiiangalia ile mechi unaweza ukasema Monaco wametumia mbinu za Man U kuifunga Arsenal kwani mara nyingi timu hiyo imekua ikifungwa kwa style hiyo hali iliyonifanya niwaze labda Berbatov aliwapa Monaco mbinu hizo

Prince Albert joins former Monaco midfielder Ludovic Giuly (centre) and former Arsenal star Robert Pires on the pitch for French TV
Kocha wa Monaco Prince Albert akiwa na mchezaj wa zamani wa timu hiyoo midfielder Ludovic Giuly (katikati) ana mkali wa zamani wa arsenal Robert Pires kwenye pitch wakizungumza na French TV
Geoffrey Kondogbia lets fly and his shot takes a wicked deflection off Per Mertesacker's chest to wrongfoot David Ospina
Kondogbia, who has frequently been linked with a move to Arsenal, wheels away after his opening strike silenced the Emirates
Kondogbia, akiwaambia mashabiki wa arsenal kwamba hawasikii baada ya kufungua akaunti ya magoli pale Emerates
Arsenal look dejected following the opener, and worse was to come for Arsene Wenger's side, who were off the boil all night
Hali ilikua mbaya sana kwa wachezaji wa Arsenal baada kipigo cha mabao matatu kwa bila.
Monaco are jubilant after Kondogbia fired the Ligue 1 outfit into a lead which they never looked like relinquishing
Monaco wakishangilia goli la Kondogbia lililokua la kwanza.
Dimitar Berbatov rolled back the years with a glorious finish after Anthony Martial hit Arsenal on the break with a classic counter-attack
The former Spurs, Manchester United and Fulham striker enjoyed his second half strike which put the game beyond Arsenal
Mchezaji wa zamani wa Spurs, Manchester United na Fulham akifurahia goli lake ambalo lilikua la pili mbele ya washika bunduki wa london.
Substitute Alex Oxlade-Chamberlain struck a sublime effort deep in injury time which appeared to give the Gunners a glimmer of hope
Alex Oxlade-Chamberlain aliyetokea benchi akiifungia arsenal bao la kufutia machozi lililoleta matumaini kabla ya kufungwa goli la tatu.
But that was extinguished after Yannick Ferreira-Carrasco punished more defensive laxity to restore Monaco's two-goal cushion
Yannick Ferreira-Carrasco akishangilia bao la tatu kwa timu yake ya monaco na kuiweka arsenal katika wakati mgumu wa kusonga mbele.

0 comments:

Post a Comment