Main Menu

Sunday, April 27, 2014

GIGSS ALIVYOANZA KIBARUA KIPYA JANA OLD TRAFFORD


article-2613799-1D6173B600000578-835_634x417
Kipenzi cha mashabiki: Kocha wa muda wa Manchester United, Ryan Giggs akiwapigia makofi mashabiki Uwanja wa Old Trafford baada ya kuiwezesha timu kushinda mabao 4-0 jana dhidi ya Norwich City katika mechi ya Ligi Kuu England ambayo ilikuwa ya kwanza tangu arithi mikoba ya David Moyes aliyefukuzwa wiki hii.
Hunting down: The win moved United closer to Tottenham in sixth place in the Premier League
Furaha imerudi: Ushindi huo umeisogeza United jirani na Tottenham inayoshika nafasi ya sita
Popular: The new Manchester United manager signs autographs for spectators at Old Trafford
Maarufu: Kocha mpya wa Manchester United akisaini autographs za mashabiki Uwanja wa Old Trafford
Dream team: Giggs takes a seat next to his coaching team of Nicky Butt, Paul Scholes and Phil Neville
Dream Team: Giggs akiwa ameketi na Wasaidizi wake, Nicky Butt, Paul Scholes na Phil Neville
Ryan Giggs
Ryan Giggs
Tunamuamini Giggsy: Mabango ya kumtukuza Giggs
Replacement: Giggs began his interim reign at Old Trafford after David Moyes was sacked
Hivi ndivyo Giggs alipokelewa
Jumping for joy: Rooney opened the scoring five minutes before half-time from the penalty spot
Wayne Rooney alifunga bao la kwanza kwa penalti
Controversy: Welbeck was adjudged to have been brought down by Steven Whittaker
Danny Welbeck ndiye aliyeangushwa kwenye eneo la hatari na Steven Whittaker
No mistake: Rooney send Norwich goalkeeper John Ruddy the wrong way with his penalty
Rooney alimchambua vizuri kipa wa Norwich, John Ruddy aliyechupa upande tofauti na ulipokwenda mpira
Cometh the hour: Mata came off the bench to score United's third goal from close range
Juan Mata alitokea benchi na kufunga mabao mawili
Ryan Giggs
Ryan Giggs
Ushindi wa 4-0 ulikuwa mkubwa zaidi kwa United katika mechi za nyumbani, ambao timu hiyo haikuwahi kuupata chini ya David Moyes Uwanja wa Old Trafford

0 comments:

Post a Comment