Wizara ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania imewasimamisha kazi
watumishi 21 wa Idara ya wanyamapori katika mapori ya akiba na kanda za
kikosi.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro
Nyalandu amesema kuwa serikali imechukua hatua hiyo kufuatia kubainika
kuhusika na vitendo vya ujangili na rushwa pamoja na kusaidia mtandao wa
ujangili nchili nchini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment