Main Menu

Saturday, August 3, 2013

NYOTA WA NBA STEPHEN CURRY AENDESHA CLINIC YA KIKAPU NA KUGAWA VYANDARUA JIJINI DAR


Viongozi wa juu wa TBF Magesa, Maluwe na Msoffe wakiwa na NBA stars Stephen Curry na Hasheem Thabeet mara baada ya Wachezaji hao kuendesha clinic ya kikapu kwa Vijana 100 wa chini ya miaka 18 ... Katika kampung ya Nothing but Net ambapo Curry anagawa vyandarua ili kupitia vita Malaria.... Urey alikuja nchini katika ziara iliyoratibiwa na UN Foundation, US Embassy kwa kushirikiana na TBF, clinic hiyo ilisaidiwa na Cocacola, BBall Kitaa, Redcross na wadau wengi wa kikapu wa DSM.
Makamu wa Rais wa TBF Phares Magesa akiwa na viongozi wa UN Foundation, Redcross na mafias wengine waliombatana na Stephen Curry mara baada ya kuzindua kampeni ya kugawa vyandarua ili kupitia vita malaria ..... Kila kikapu Curry anachofunga anagawa vyandarua vitatu kupitia kampeni hiyo.


0 comments:

Post a Comment