Shirikisho la kandanda barani Ulaya, UEFA, limetangaza mapato ya vilabu
mbalimbali katika msimu uliopita wa michuano ya Kombe la Mabingwa wa
Ulaya, Champions League, na Kombe la Ligi la Ulaya, Europa League.
Timu
iliyojipatia mapato zaidi kutokana na michuano hiyo ni Juventus ya Italia,
ambayo imepata Euro milioni 65.
Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani,
imejipatia Euro milioni 55, huku timu ya Chelsea ya Uingereza, ikiwa imepata
zaidi ya Euro milioni 10.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment