Main Menu

Friday, July 26, 2013

JINA LA MTOTO WA PRINCE WILLIAM NA KATE WA UINGEREZA LAFAHAMIKA…



Baada ya mtoto wa kifalme kuzaliwa Jumatatu katika familia ya kifalme ya Prince William na mkewe Kate wa Uingereza hatimaye jina la mtoto huyo lawekwa wazi.

Mfalme huyo wa baadaye amepewa jina la GEORGE ALEXANDER LOUIS. 

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Daily Mail mtoto huyo atakapofikia  hatua ya kutawala ataikwa King George VII, na kabla ya hapo atakuwa akifahamika kama Prince George.

Uamuzi wa jina la mtoto huyo umefanywa na wazazi wake William na Kate.

0 comments:

Post a Comment