Main Menu

Monday, June 17, 2013

SEMINA YA MEYA, WENYEVITI WA WILAYA YAFANYIKA JIJINI ARUSHA


 Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Bw. Mwanga Ekzaudi ambaye ndio alikuwa mgeni rasmi katika Semina hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
 Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali Msaidizi Bw. Constantine Mashoko akitoa hotuba ya kumkaribisha mgeni rasmi.
 Wadau wa Semina hii wakisikiliza kwa makini hoja zilizokuwa zinatolewa. 
Watoa mada katika semina hiyo, kutoka kushoto ni Mkaguzi wa Ndani Chuo Kikuu cha Mzumbe Bw. Barikiel Nkinda, Mkaguzi Mkuu wa Ndani Tume ya Pamoja ya Fedha Bw. Cassim Mambo na Mkaguzi Mkuu wa Ndani Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (DART) Bw. Alphonce Muro.
 Baadhi ya Sekretarieti ya maandalizi ya mkutano huo wakifanya mapitio ya mada ambazo ziliwasilishwa katika semina hiyo kutoka kushoto ni Bw. Elikira Mathew, Bi. Lightness Mality pamoja na Bi. Wapheba Setembo. 
 Baadhi ya wajumbe walioshiriki kwenye semina hiyo katika picha ya pamoja. Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini – Wizara ya Fedha.


0 comments:

Post a Comment