Main Menu

Wednesday, April 3, 2013

KAJALA ALIPA FADHILA KWA NJIA YA AINA YAKE


Tattoo ya Kajala yenye jina la Wema

Baada ya kupewa msaada wa kipekee kwa kutolewa faini ya shilingi million 13 toka kwa msanii mwenzake Wema Sepetu pesa iliyomsaidia kukwepa kifungo cha miaka 5 jela, Kajala Masanja ameamua kumshukuru Wema kwa namna ya kipekee ambapo amejichora tattoo yenye jina la ‘Wema’.

Wema alishare picha hiyo ya Kajala kwenye account yake ya Instagram na kuisindikiza na maneno haya, “me Corazon....she calls me her hero....I sooo much appreciate her...my friend, my sister, I’m happy... #pure heart.....nothing but a pure heart.”

Tattoo ya Wema yenye maandishi ya kichina
Wema Sepetu ameshare pia picha ya tattoo yake ikiwa imeandikwa kwa lugha ya kichina, kibongobongo sio rahisi kujua tafsiri na maana ya tattoo hiyo.

NA leotainer

0 comments:

Post a Comment