Main Menu

Monday, April 1, 2013

HIVI NDIVYO WAFANYAKAZI WA EBONY FM NA ENTERTAINMENT WALIVYOSHEHEREKEA SIKUKUU YA PASAKA

            Kutoka kulia Teddy Hankungwe, Neema Msafiri, Yahaya Mohamedy, na Joyce
                              Allcoco na Hatya omary live bila chenga
       Kutoka kushoto Austin Nyondo meneja masoko, Eliud kalokola it meneja na Achileus Ezdery technical meneja.

                               Hii ndiyo ilikua kaunta

      Kutoka kulia Luthah Akyoo meneja raslimali watu, Ansilm Ngaiza aka Chief Rumanyika aka Soggy Doggy meneja vipindi na Bonny Slay mdogo mdogo na kitu cha lite.

            Mkurugenzi wa Ebony fm Evarist Mfugale(katikati) akiwa na mkewe (kushoto) na meneja wa Ebony Entertainment Allicoco (kulia) na hapo cjui kaambiwa nini wakati akiongea na simu.
                                                 Emmo na Joyce
                                              Glory Pelle na Bonny Slay
         Maregesi Girishon na Glory Pele kwenye pozi la hatari
                                         Muda muafaka ukafika Luthar Akyoo akaongoza msafara

                              Luthar akiwa na shemeji, kulia Sabebe
                                             Neema msafiri kwny hili huwa hakuna kujuana
                                 Yahaya Mohamedy na Neema Msafiri
                                      hahahahahaha...................... Kabula kazini
   Mshika hela wa ebony fm Grace Mwabulesi (kulia) Glory Pelle na Neema Msafiri
                     Austin na achileus wakivunja mifupa angali meno yapo ........ahahaha
       Hatya Omary kama vile alikua anamshushua Sabebe wakati Aisha Sandigah akishuhudia
                         Kutoka kushoto producer Saggy, mpelelezi I.K.O na Dj Kwasa
                               Mussa Kawambwa wa anga la michezo
                               Yusuph Mkule wa anga la michezo akipambana na mfupa

                                               Ukafika wakati wa kwaito

0 comments:

Post a Comment