Main Menu

Wednesday, February 13, 2013

BAADHI YA BIDHAA ZILIZOCHANGWA NA WASIKILIZAJI WA EBONY FM KWA AJILI YA WATOTO YATIMA SIKU YA VALENTINE

 baadhi ya bidhaa zilizochangwa na wasikilizaji wa radio ebony fm iringa kwa ajili ya kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu mkoani humo.

zaidi ya shilingi milioni tano zimechangwa kwa njia ya m-pesa na bidhaa tofauti tofauti zenye thamani zaidi ya milioni tano zimekusanywa katika harambee hiyo iliyodumu kwa siku 6.

msaada huu unapelekwa katika kituo cha sisi ni kesho childrens home kilichopo nyololo wilayani mufindi mkoani iringa.






  mmoja wa wafanyakazi wa ebony fm ya mkoani iringa yah special mkazuzu akifungasha mizigo hiyo tayari kwa safari ya kuelekea nyololo wilayani mufindi mkoani iringa katika kituo cha sisi ni kesho childrens home.

0 comments:

Post a Comment