Main Menu

Thursday, January 3, 2013

SAJUKI KUZIKWA LEO KATIKA MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR

No
MUDA
TUKIO
MHUSIKA
1
1:00-……..
Waombolezaji kuwasili nyumbani kwa marehemu
Kamati yya mapokezi na Itifaki
2
2:00-2:45
Kisomo cha wanaume
Wanafamilia
3
2:45-3:30
Mwili wa marehemu kuwasili nyumbani
Kamati ya mazishi na familia.
4
3:30- 5:00
Salamu za pole kutoka kwa viongozi, ndg na jamaa
Kamati ya Itifaki
5
5:00- 6:00
Sadaka ya chakula
Wote
6
6:00-6:15
Nasaha toka kwa viongozi wa dini
Mashekhe
7
6:15
Mwili kuondoka nyumbani kuelekea msikitini
Kamati ya itifaki, usafiri na mazishi.
8
6:15-6:30
Kisomo cha kinamama
Kinamama
9
6:30 – 7:30
Mwili kuwasili msikitini na swala ya kuswalia maiti

Kamati ya mazishi na wahusika wa msikiti
10
7:30……
Mazishi
Shekhe na watu wote.
11

 Shukrani za mazishi na mwisho.
Familia na viongozi wa dini
Imetolewa na kamati ya mazishi.
Ahsanteni kwa ushirikiano



Mbunge wa jimbo la Segerea, Dar es Salaam, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga akitia saini katika kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Sajuki.

0 comments:

Post a Comment