Main Menu

Saturday, June 15, 2013

LADY JAY DEE AFUNIKA NA MIAKA 13 YA KUWEPO KWENYE GAME YA MUZIKI



Mwanamuziki Jady Jay Dee akionyesha umahiri wake wa kulishambilia jukwaa wakati wa show yake ya kutimiza miaka 13 katika Muziki iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge,Namanga jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wadau mbali mbali.
Ilikuwa ni shangwe tupu wakati wa show hiyo.
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi akiwa stejini kutoa burudani mbele ya Mashabiki Lukuki waliofika Nyumbani Lounge kuona show ya Miaka 13 wa Mwanamuziki Lady Jay Dee.




0 comments:

Post a Comment