Main Menu

Wednesday, May 27, 2015

SEVILLA MABINGWA WAPYA WA UEROPA LEAGUE.....

Sevilla's Fernando Navarro lifts the Europa League trophy as confetti rains down on him and his team-mates after their 3-2 victoryTimu ya Sevilla ya nchini Hispania usiku huu imetwaa ubingwa wa michuano ya Ueropa kwa mwaka 2014/2015 baada ya kupata ushindi wa mabao 3-2 mbele ya Dnipro.
 Sevilla's players and staff are joined by their families on the pitch at the National Stadium in Warsaw, Poland
Ushindi huu unaipa Sevilla tiketi ya kucheza michuano ya ligi ya mabingwa na kufanya nchi ya hispania kuweka rekodi ya kuingiza timu tano katika michuano hiyo ya Uefa.

Former Club Brugge striker Bacca celebrates after scoring his second goal of the night to retain the Europa League for Sevilla
Magoli ya Sevilla katika fainal hiyo iliyopigwa katika dimba la
Stadion Narodowy yamefungwa na carlos bacca aliyefunga mara mbili na Grzegorz Krychowiak wakati yale ya dnipro yamefungwa na
Nikola Kalinic na Ruslan Rotan.



















Former Manchester United manager Sir Alex Ferguson watches on from the stands after attending the LMA awards on Tuesday nightMeneja wa zamani wa Manchester united Sir Alex Ferguson alikua mmoja wa mashuhuda wa fainali hiyo.

0 comments:

Post a Comment