Main Menu

Tuesday, March 31, 2015

DI MARIA AWABURUZA COSTA NA SANCHEZ KATIKA UUZAJI WA JEZI ENGLAND

Mshambuliaji wa timu ya manchestar united Angel di Maria amewaburuza wachezaji wenzake katika ligi kuu ya england katika uuzaji wa jezi msimu huu.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina amewazidi Diego Costa wa Chelsea na Sanchez wa Arsenal wanamfuata kwa karibu.

Kwa mujibuwa duka linalouza vifaa vwa michezo la sports direct ambalo huuza jezi za Arsenal, Aston Villa, Chelsea, Liverpool, United, Manchester City, Tottenham na Newcastle, Di Maria ndiye mchezaji ambaye jezi zake zimenunuliwa zaidi. 
Manchester United's record summer signing Angel di Maria tops the list of SportsDirect player shirt sales 
Angel di Maria aliweka rekodi ya uhamisho majira ya kiangazi nchini england kwa uhamisho wake wa kutoka Real madrid kwenda Man u.
Di Maria, Sanchez and Costa make up with top three with a combined share of 15.66 per cent
Msimamo wa wachezaji wanaoongoza kwa kuuza jezi

0 comments:

Post a Comment