Main Menu

Tuesday, January 7, 2014

HIVI NDIVYO ILIVYOKUA SAFARI YA MWISHO YA ALIYEKUA WAZIRI WA FEDHA DR WILLIAM MGIMWA KIJIJINI KWAKE MKOANI IRINGA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa mkono wa pole Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt William Mgimwa, wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iring.
 Godfrey Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu Dkt William Mgimwa, akiongea kwa niaba ya familia wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iring.
 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiongea kwa niaba ya Serikali
 Sehemu ya umati wa wananchi wakiwa mazikoni hapo
 Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akiongea kwa niaba ya kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni
 Wakuu wa Wilaya mbalimbali wakiweka shada lao la maua
 Wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge wakiweka shada lao
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada lao la maua
 Mjane wa marehemu akiweka shada la maua
 Machifu wakiweka udongo kaburini
 Mawaziri, manaibu mawaziri na wabunge wakiweka udongo kaburini

 Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akiweka mchanga
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete akiweka mchanga kaburini

0 comments:

Post a Comment