Main Menu

Saturday, December 21, 2013

WAKAZI 6 WA MKOA WA IRINGA WAATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM


Mshindi wa Pikipiki katika Promosheni ya Timka na Bodaboda inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Salome Kalinga(wanne toka kushoto)mkazi wa Iringa,akipokea funguo wa pikipiki yake aliyojishindia katika promosheni hiyo toka kwa Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kusini Magharibi Bw.Benedict Kitogwa.Ili kujiunga na Promosheni hiyo mteja anatakiwa kutuma neno PROMO kwenda 15544.
Meneja wa Vodacom Tanzania,Mkoa wa Iringa Bw.John Watosha,akimfungia kamba za kofia ngumu Bw.Aloyce Mboya ambaye ni mmoja kati ya washindi(6)wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wakati wa makabidhiano rasmi hapo jana,anaeshuhudia kulia ni Meneja Mauzo wa Mkoa huo Galus Baltazal.Ili kujiunga na Promosheni hiyo mteja anatakiwa kutuma neno PROMO kwenda 15544.
Mshindi wa Pikipiki katika Promosheni ya Timka na Bodaboda Mkazi wa Mkoa wa Iringa Bw. Francis Mlelwa,akishuhudiwa na Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kusini Magharibi Bw.Benedict Kitogwa(watatu toka kushoto)pamoja na washindi wenzake akiwa juu ya pikipiki yake tayari kwa kuondoka nayo mara baada ya kukabidhiwa rasmi na Kaimu huyo,Ili kujiunga na Promosheni hiyo inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Mteja anatakiwa kutuma neno PROMO kwenda namba 15544.
Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kusini Magharibi Bw.Benedict Kitogwa,akimkabidhi pikipiki Bw.Francis Mlelwa ambaye ni mmoja kati ya washindi(6)wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wakati wa makabidhiano rasmi mkoani humo hapo jana,Ili kujiunga na Promosheni hiyo mteja anatakiwa kutuma neno PROMO kwenda 15544.
Baadhi ya washindi wa Promosheni ya Timka na Bodaboda wa Mkoa wa Iringa,wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania Mkoani humo hapo jana mara baada ya kukabidhiwa pikipiki zao za ushindi,ili kujiunga na promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.


0 comments:

Post a Comment