Main Menu

Tuesday, August 13, 2013

AIRTEL YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WAKE WA WIKI HII


Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania Bw, jackson Mmbando (Kulia) akiwa na mshindi wa zawadi ya shilingi milioni moja kwa wiki hii Bw, Rakesh Mawji huku akitoa pesa zake mara baada ya kutumiwa kupitia huduma ya Airtel Money. Hafla ya makabidhiano na mshindi huyo ilifanyika katika ofisi za Airtel jiji ni Dar es salaam leo.
Meneja wa Duka la Airtel Makao makuu Bi, Happy John (kulia) akiwa na mshindi wa zawadi ya shilingi milioni moja kwa wiki hii Bw, Rakesh Mawji akihesabu pesa zake mara baada ya kuzitoa kupitia huduma ya Airtel Money. Hafla ya makabidhiano na mshindi huyo ilifanyika katika ofisi za Airtel jiji ni Dar es salaam leo.
Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania Bw, jackson Mmbando (kushoto) akiwa na mshindi wa zawadi ya shilingi milioni moja kwa wiki hii Bw, Steven Maguru huku akihesabu pesa zake mara baada ya kuzitoa kupitia huduma ya Airtel Money. Hafla ya makabidhiano na mshindi huyo ilifanyika katika ofisi za Airtel jiji ni Dar es salaam leo.
Kulia ni Meneja uhusiano wa Airtel Bw jackson Mmbando akimpongeza mume wa mshindi wa wiki hii Bw, Hassan Abdalah mara baada ya mke wake (kati) Bi Mwajuma kukabidhiwa zawadi yake shilingi milioni moja na kuitoa kupitia huduma ya Airtel Money Hafla ya makabidhiano na mshindi huyo ilifanyika katika ofisi za Airtel jijini Dar es salaam leo.
Kati ni Mwalim steven Maguru akionyesha pesa yake kwa furaha kiasi cha shilingi laki moja aliyotoa kupitia Airtel money mara baaada ya kushinda milioni moja na kupokea yote kupitia Airtel Money. Kulia ni mshindi mwingine wa wiki hii Bw, Rakesh Mawji na kushoto ni meneja Uhusiano wa Airtel bw, jackson Mmbando mara baada ya kukutana na washindi hao makao makuu ya Airtel jijini dar es salaam leo


0 comments:

Post a Comment