Main Menu

Monday, June 3, 2013

HIVI NDIVYO BATA LA MIAKA 7 YA EBONY FM IRINGA LILIVYOLIWA PALEEEE CLUB LA PARTE

Huyu jamaa anaitwa Maregesi Gerishoni aka baba Cecy alikua anahakikisha kila anayeingia anaonana nae
      Mandhari ya Club La Larte mkoani Iringa ambapo miaka 7 ya ebony fm iliadhimishwa
           kulia ni Mkazuzu na mrembo Trishh wa show ya cumpus connection
                       Mpelelezi IKO na mtoto mzuri Trish
                                  mpelelezi I.K.O na Bonny sly
                                            watu dancing floor

                                                   Glory Pelle
                                    Abdulfatah, Glory na Aisha Sandigah


     Wageni mbalimbali walialikwa kujumuika na familia ya ebony fm
                 Kushoto mratibu wa miss Iringa Doss, Hr Ebony fm na mshkaji kutoka Oric Air
                                 Joyce wa ebony fm na mshika dau wake
News room team, Mussa Kawambwa, Yusuf Mkule na Abdulfatah Murtadha
                                                  mtu na bosi wake
                                       wakati wakusakata na dj kwasa
               NANII kamwaga pombe yangu naulizaaa????? dj nas
    wadada warembo wa Ebony fm Hatya, Joyce, Divanji na Neema kutoka Dar
                                                     kitengo muhimu

 

0 comments:

Post a Comment