Main Menu

Thursday, April 4, 2013

TAMASHA LA PASAKA LAFANA MKOANI IRINGA, ROSE MHANDO AFUNIKA


  Solomon mukubwa kutoka nchni kenya akiwajibika jukwaani katika uwanja wa samora mkoani iringa


umati mkubwa wa wapenzi wa mziki wa injili wakishuhudia waimbaji hao




                       kila aliyekua na kitambaa ama kushika kitu chochote mkononi alitakiwa kukinyanyua juu
                                    cloud ya wapenzi wa mziki wa bwana
      rose mhando na jeshi lake akiwasalimia wana iringa kabla ya kuanza kazi


                           kazi imeanza vilipigwa viduku vya yesu vya maana

 
waimbaji mbalimbali walihudhuria tamasha hilo mbali ya rse mhando na solomon mukubwa pia alikuwepo bonny mwaitege, upendo nkono na wengine wengi wa mikoa ya nyanda za juu kusini.

0 comments:

Post a Comment