Main Menu

Monday, December 3, 2012

ROMA ALIA NA DJ ALI B KWA KUMUHARIBIA SHOW KATIKA TAMASHA LA MTIKISIKO MKOANI IRINGA


status ya roma makatoliki.........


Roma Tongwe

17 hours ago show nzuri ni DJ awe mkali aisee!! jana haikuwa poa kabisa yule dj sijui hata alikuwa anafanya nini!! waliokuwepo iringa hamkuliona hili!!!?

DJ CHOKA ATABAKI KUWA MKALI TU ALWAYS.....

  comments za wadau


Renatus Bizzo Kiluvia Roma Tongwe..Tatizo kaka watu hawajakuelewa@all...Halafu hii mitandao ya kijamii imetoa UHURU mzuri na mkubwa wa kuzungumza lakini bado tumekuwa tunazungumza tu bila kujaribu kutazama kama tuna uelewa wa kutosha katika hicho tunachokizungumza ama la..EBONY ENTERTAINMENT imeshaandaa MATAMASHA mengi sana...hili ni TAMASHA la tano la MTIKISIKO...Ma-Dj wa EBONY wanameshafanya matamasha kibao so wana uzoefu na hizo mambo...tatizo wakati ROMA anapanda on stage DJ aliyekuwa kwenye mashine hakuwa Dj wa EBONY...yule anaitwa DJ ALI-B kutoka MAISHA Club Dar-Es-Salaam...na ndie aliyeharibu show ya ROMA...ieleweke hivyo ndugu zanguni...

• Shiddy Kalinga kwanin huyo djwa maish club ahusike ktk stage kama hayuko valid? xo.... what?

 • Michael Devis 2pe jina la huyo dj au hata humjui unalalamika 2


 • Goodluck Sanga ndo tatizo la kufuatisha CD pumbafu zako ,Live band ndo kalii


 

                                        DJ muba katikati ndiye aliyetakiwa kusimamia show

BAADAE ROMA AKATOA UFAFANUZI KUHUSU STATUS YAKE NA CHINI YAKE WADAU WAMECOMENT...............

 
                                                  dj ali b wa maisha club aliyeharibu show ya roma Roma Tongwe
Jana nyt nilichapa hapa status bout dj wa iringa kuzingua na nikaxema dj choka ni mnoma...duuuuh among 70commentz, kuna watu wamepaniki xana na kuongea kuwa me ndo' nazingua......xaxa ni hv...me nimeipenda hii mada...elewa fika kuwa kuna dj mzuri kwa radio tu, yupo dj mkali kwa club na pia yupo dj mzuri kwa showz! Hao madj wengi mliowataja ni wazuri xana bt co kwa showz....unajua dj choka co t u ni dj ktk show, ni hyper man, anajua kubuck up mxanii, na anajua ngoma nyng xana za waxanii...na anaweza kucheza na artst at xame tym na mashabiki, k2 ambacho madj wengi hawana, wataweza kuscratch tu na bt hawata mbuck up mxanii, k2 ambacho huletaga hamaxa ukipata dj wa hvo...oya kuimbisha watu na kuwafanya washangilie ni kipaji aixee co rahc rahc...mcheki dj wa buster rhymes af utanielewa, na xamtym inakuwa hard kuwa na dj wako xehem zote...ndomana 50cent anaweza kuja bongo na team yake ya watu 25, bt xixi inakuwa ngumu...may b tuweke entrace elf 50!!mtaingia? Xo dj'z wote wakali bt kuna wakali zaidi ktk event flani...naweza pga mzgo na dj yyt...though xamtym inahtaj rehaxo, bt wengne unaona kbs apa hata km ni rehaso...hamna k2...bs ni hayo tu...wana

Like • • Share 





0 comments:

Post a Comment