Main Menu

Wednesday, July 1, 2015

YANGA YAWATAMBULISHA WAKIMATAIFA



 
Klabu ya Yanga leo imewatambulisha wachezaji wake wapya kutoka nje ya nchi waliowasili wikiendi iliyopita.

Wachezaji hao ni Donald Ngoma kutoka nchini Zimbabwe na Joseph Teteh zutah kutoka nchini Ghana.

Wakali hao wametambulishwa makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Twiga na jangwani na mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano Jerry Murro.

0 comments:

Post a Comment